Ajali Mbaya Yatokea Kigoma Yaua watu 7

Watu 7 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha lori aina ya Scania iliyotokea kijiji cha Mkongoro. Chanzo cha ajali hiyo imedaiwa kua dereva wa lori alishindwa kulimudu kwenye mteremko mkali na kumgonga mtembea kwa miguu kisha kupinduka. Watu 7 wamefariki katika ajali hiyo iliyo sababishwa na gari aina ya Scania Lori iliyotokea katika kijiji cha Mkongoro Kigoma. Dereva wa Lori hilo ali shindwa kulimudu gari wakati akishuka kwenye mteremko uliokuwa na kona kali na kumgonga mtembea kwa miguu na kisha kupinduka.

Comments

Popular posts from this blog

BASI LINGINE LA NEW FORCE LAPATA AJALI MBAYA.

DEATH OF JOHN RAMBO IS IT TRUE

DALILI 10 ZA KUACHA NA MPENZI WAKO