Posts

Showing posts from April, 2018

Tanzia:Masogange afariki dunia leo.

Image
Video queen maarufu Bongo Agness Gerald maarufu kama Agness Masogange amefariki Dunia leo katika Hospitali ya Mama Ngoma Mwenge jijini Dar Es Salaam. Kama ilivyo ripotiwa na kituo cha jamiforms kifo chake kimetokea chana waleo na wamedai Alikuwa anasumbuliwa na Homa ya matumbo pamoja na tatizo la kupungukiwa na damu. Usisahau kusubscribe hapojuu na kwenye YouTube channel yetu kwa jina LA mapesain TV kwa taarifa zaidi. Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.

Masogange jela kwa kosa la kutumia madawa ya kulevya.

Image
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Agnes Gerald (Masogange) hukumu ya kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya Shilingi milioni moja na nusu (1.5 milioni) baada ya kukutwa na kosa la kutumia dawa za kulevya Masogange ni miongoni mwa watu maarufu waliotakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar kufika Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na matumizi ya Dawa za Kulevya mnamo Februari, 2017 Agnes Gerald ahukumiwa kwa makosa mawili ya Madawa ya kulevya. Kosa la kwanza ni kutumia dawa za kulevya aina ya heroine, na la pili kutumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam. Ameachiwa huru mara baada ya kulipa faini ya Sh milioni 1.5. Masogange alikamatwa na Polisi baadae, Jeshi la polisi lilikabidhi sampuli kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuthibitisha kama mlimbwende huyo anatumia dawa za kulevya au la

Mwanaharakati na aliyekuwa mke wa hayati Nelson Mandela, Winnie Mandela afariki dunia

Image
Mwanaharakati na aliyekuwa mke wa hayati Nelson Mandela, Winnie Mandela afariki dunia Mwanaharakati na mke wa zamani wa Rais wa kwanza mwafrika wa Afrika Kusini(hayati Nelson Mandela), Bi. Winnie Mandela amefariki leo Jumatatu mchana akiwa na umri wa miaka 81 jijini Johannesburg Mpinga Ubaguzi wa Rangi Winnie Madikizela-Mandela (81) alizaliwa tarehe 26, Septemba mwaka 1936.  Msaidizi wake, Zodwa Zwane amethibitisha taarifa hizo. Winnie Madikizela-Mandela (amezaliwa tar. 26-09-1936 na jina la Nomzamo Winifred Zanyiwe Madikizela ) ni mwanasiasa wa Afrika Kusini, ambaye ameshikilia nafasi kadhaa serikalini na alikuwa mkuu wa ligi ya wanawake ANC. Wakati huu yeye ni mwanachama wa kamati ya kimataifa ya ANC. Ingawa bado alikuwa mke wa Nelson Mandela wakati Mandela alipewa urais wa Afrika ya Kusini mnamo Mei 1994, kamwe hakuwa first lady wa Afrika ya Kusini, kwani wanandoa hawa walikuwa wametengana miaka miwili iliyopita. Hii ilikuwa baada ya Winnie kugunduliwa kuwa na uhusiano wa kimape